Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 16
JUMA LINALOANZA MEI 16
Wimbo 96 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4 ¶1-4, sanduku kwenye uku. 30 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 11-18 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 17:1-15 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunavyoweza Kuonyesha Kwamba Tunamwabudu Yehova Pekee—Rom. 6:16, 17 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Wayahudi wa Asili Leo Ni Watu wa Mungu Waliochaguliwa? (rs uku. 409 ¶3–uku. 411 ¶2) (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Maswali Ili Ufundishe Vizuri—Sehemu ya 1. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 236 hadi ukurasa wa 237, fungu la 2. Panga onyesho fupi la jinsi ya kutumia jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kufanya Ziara za Kurudia. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 97, fungu la 1 hadi ukurasa wa 98 fungu la 1. Tia ndani onyesho fupi la mzee akimrudia mtu aliyekubali toleo la mwezi huu.
Dak. 10: “Unaweza Kushiriki Katika Huduma Siku ya Jumapili?” Maswali na majibu.
Wimbo 115 na Sala