Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 30
JUMA LINALOANZA MEI 30
Wimbo 33 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4 ¶5-12 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 26-33 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 31:9-24 (Isizidi dak.4)
Na. 2: Mifano ya Unyenyekevu wa Kweli Katika Biblia (5 Dak.)
Na. 3: Je, Wayahudi Wanapaswa Kumwamini Yesu Kristo ili Waokolewe?—rs uku. 412 ¶1-2) (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Panga onyesho la jinsi funzo linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Juni, kwa kutumia pendekezo lililo katika ukurasa wa 4. Watie moyo wote washiriki utumishi Jumamosi hiyo.
Dak. 15: Jinsi ya Kufanya Utafiti. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 33-38. Tia ndani onyesho fupi la mhubiri anayejizungumzia jukwaani. Mhubiri huyo anatumia vifaa vya kufanya utafiti ili kupata jibu la swali aliloulizwa katika huduma.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Juni. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kupitia baadhi ya habari zilizomo katika magazeti ya karibuni. Kisha chagua makala mbili au tatu, na uwaombe wasikilizaji wapendekeze maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati wa kutoa magazeti. Panga maonyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 113 na Sala