Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 23
JUMA LINALOANZA MEI 23
Wimbo 39 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4, sanduku kwenye uku. 33 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 19-25 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 23:1–24:10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Wayahudi Wote Watageuzwa Wamwamini Kristo?—rs uku. 411 ¶3-4) (Dak. 5)
Na. 3: Andiko la Waroma 8:21 Litatimizwa Lini na kwa Njia Gani? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. “Jinsi ya Kutumia Fomu ya Tafadhali Fuatia Upendezi (S-43).” Mazungumzo.
Dak. 10: Mambo Matatu ya Kuzingatia Ili Kuwa na Utangulizi Mzuri. Hotuba inayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 9, fungu la 1. Baada ya kuzungumzia habari hii, panga maonyesho mawili yanayoonyesha utangulizi mzuri wa toleo la Juni.
Dak. 15: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Zungumzia kifupi habari kutoka katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Itumie Vizuri” na “Mfululizo Mpya wa Kutusaidia Kuanzisha Mafunzo ya Biblia” (km 12/10) na pia “Msaada kwa Familia” (km 1/11). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamejaribu kutumia madokezo katika makala hizo na jinsi ambavyo wamenufaika.
Wimbo 56 na Sala