Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 6
JUMA LINALOANZA JUNI 6
Wimbo 68 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4 ¶13-20, sanduku kwenye uku. 34 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 34-37 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 35:1-18 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Mambo Yanayotendeka Katika Israeli Leo Ni Utimizo wa Unabii wa Biblia?—rs uku. 412 ¶3–uku. 413 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Andiko la Luka 12:13-15, 21 Linatufunza Nini? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Maswali Ili Ufundishe Vizuri—Sehemu ya 2. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 237, fungu la 3, hadi ukurasa wa 238, fungu la 5. Panga onyesho fupi la jinsi ya kutumia jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Yashughulikiwe na mwangalizi wa utumishi. Wapongeze akina ndugu kwa utendaji wao wakati wa majira ya Ukumbusho na utaje mambo yaliyotimizwa. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo waliyofurahia walipokuwa mapainia wasaidizi katika mwezi wa Machi, Aprili, na Mei.
Wimbo 83 na Sala