Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Katika mwezi wa Desemba, tulikuwa na kilele kipya cha saa 550,811 na wastani wa saa 13.3 kwa kila mhubiri.
Uganda: Tunafurahi kuripoti kwamba katika mwezi wa Desemba, tulikuwa na vilele vipya vitatu—wahubiri 5,304, saa 138,432, na magazeti 85,573.