Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 13
JUMA LINALOANZA JUNI 13
Wimbo 45 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 5 ¶1-8, sanduku kwenye uku. 39 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 38-44 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 41:1–42:5 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Sifa Nzuri na Marafiki wa Karibu Wanaotajwa Katika Biblia Tunaoweza Kuiga (Dak. 5)
Na. 3: Unabii Kuhusu Kurudishwa kwa Israeli Unatimizwa na Nani Leo?—rs uku. 414 ¶1-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kuongoza Mafunzo ya Biblia ya Nyumbani. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 98, fungu la 2, hadi ukurasa wa 99, fungu la 1. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu shangwe waliyopata kwa kumfundisha mtu kweli na kumwona akifanya maendeleo ya kiroho. Unaweza kupanga mapema ili mhubiri mmoja au wawili watoe maelezo.
Dak. 10: Wakristo Wana Msimamo Gani Kuhusu Ndoa, Talaka, na Kutengana? Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 194-195, swali la 1-3. Hotuba hii itolewe na mzee.
Dak. 10: “Tunapaswa Kuwa Wenye Subira Katika Huduma.” Maswali na majibu.
Wimbo 103 na Sala