Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 4
JUMA LINALOANZA JULAI 4
Wimbo 85 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 6 ¶1-8, sanduku kwenye uku. 44 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 60-68 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 62:1–63:5 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunahusikaje Katika Utimizo wa Hagai 2:7? (Dak. 5)
Na. 3: Watawala wa Ufalme wa Mungu Ni Nani?—rs uku. 312 ¶2-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Taja Habari Kuu za Utumishi.
Dak. 10: Kutoka Katika Kinywa cha Watoto. (Mt. 21:15, 16) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 53, fungu la 3, na ukurasa wa 58, fungu la 1-2. Baada ya kuzungumzia kila jambo lililoonwa, waombe wasikilizaji watoe maelezo ya mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba msikilizaji mmoja asome Luka 9:57-62 na Luka 14:25-33. Zungumzia jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma.
Dak. 10: “Kutoa Ushahidi Barabarani kwa Njia Inayofaa.” Sehemu hii ya maswali na majibu iongozwe na mwangalizi wa utumishi. Fanya habari ifae hali za kwenu. Panga onyesho moja au mawili mafupi yanayoonyesha jinsi ya kutumia jambo moja au mawili katika sehemu hiyo.
Wimbo 124 na Sala