Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 11
JUMA LINALOANZA JULAI 11
Wimbo 34 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 6 ¶9-16 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 69-73 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 72:1-20 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ufalme wa Mungu Utazitendeaje Serikali za Wanadamu?—rs uku. 312 ¶5–uku. 313 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Mambo Ambayo Vijana Wanaweza Kujifunza Kutokana na Mfalme Hezekia na Yosia (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Maswali ili Ufundishe Vizuri—Sehemu ya 3. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 238 fungu la 6 hadi mwisho wa ukurasa wa 239. Panga onyesho moja au mawili mafupi kuhusu jinsi ya kutumia habari hiyo.
Dak. 10: “Onyesha ‘Huruma Nyororo.’” Maswali na majibu.
Dak. 10: Hakikisha Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi. (Flp. 1:10) Hoji kichwa cha familia mmoja au wawili ambao hushiriki kwa ukawaida na kwa bidii katika huduma licha ya kuwa na kazi ya wakati wote au majukumu mengi ya familia. Wakiwa na ratiba yenye shughuli nyingi hivyo, wao hufanya mipango gani ili kuwa na wakati wa kushiriki katika huduma? Kushiriki kwa ukawaida katika huduma kumewanufaishaje wao na familia zao?
Wimbo 73 na Sala