Matangazo
◼ Toleo la mwezi wa Julai na Agosti: Yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 zinazofaa katika eneo lenu. Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Mungu Anataka Tufanye Nini?, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, Serikali Itakayoleta Paradiso, Uhai—Ulitokana na Muumba? Lasting Peace and Happiness—How to Find Them, na Our Problems—Who Will Help Us Solve Them? Septemba: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Jitahidi kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kwanza. Ikiwa mwenye nyumba tayari ana kitabu hiki na hakubali funzo la Biblia, mhubiri anaweza kumwachia magazeti yoyote ya zamani au broshua yoyote inayomfaa. Oktoba: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mtu akipendezwa, zungumzia trakti Je, Ungependa Kujua Ukweli? na ujitahidi kuanzisha funzo la Biblia.