Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 1
JUMA LINALOANZA AGOSTI 1
Wimbo 31 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 7 ¶9-13, sanduku kwenye uku. 56 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 87-91 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 89:26-52 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kinachofanya Watumishi Waaminifu wa Yehova Wawe Wenye Furaha (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utaondoa Vita na Ufisadi—rs uku. 314 ¶2-5 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Tumia pendekezo kwa ajili ya utumishi lililo katika ukurasa huu kuonyesha jinsi tunavyoweza kuanzisha funzo la Biblia katika Jumamosi ya kwanza mwezi wa Agosti. Watie moyo wote washiriki katika utumishi Jumamosi hiyo.
Dak. 15: Tumia Mifano Inayofundisha. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 240-243. Waombe wasikilizaji waeleze kifupi mifano ambayo wametumia kwa mafanikio wanapojadiliana na mwenye nyumba au mwanafunzi wa Biblia.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Wimbo 129 na Sala