Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 15
JUMA LINALOANZA AGOSTI 15
Wimbo 39 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 8 ¶1-7, masanduku kwenye uku. 61-62 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 102-105 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 105:1-24 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Hatupaswi Kutamani Mambo Tuliyoacha ili Tumtumikie Mungu?—Luka 9:62 (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utawaandalia Wanadamu Wote Nyumba, Kazi, na Usalama—rs uku. 315 ¶4-7 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Wasaidie Wanaopendezwa Wafanye Maendeleo. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 187, fungu la 6 hadi ukurasa wa 188, fungu la 3.
Dak. 20: “Jehovah’s Witnesses—Organized to Share the Good News.” Maswali na majibu. Tumia habari katika fungu la kwanza na la mwisho kwa utangulizi mfupi na umalizio. Mahali ambapo video hazipatikani, zungumzieni sura ya 1 ya kitabu Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova. Watie moyo akina ndugu waendelee na ibada ya familia, kuhudhuria mikutano kwa ukawaida, makusanyiko, na kushiriki kwa ukawaida katika huduma ya shambani.
Wimbo 47 na Sala