Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 5
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 5
Wimbo 75 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 9 ¶1-7, masanduku kwenye uku. 68, 70 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 119 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 119:49-72 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Maandiko Yanatutia Moyo Tumwogope Yehova?—Kum. 5:29 (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utafufua Wafu—rs uku. 316 ¶4–uku. 317 ¶2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Mwombe msikilizaji mmoja au zaidi wasome Matendo 5:17-42. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Jitayarisheni kwa Ajili ya Huduma Mkiwa Familia. Mahojiano na onyesho. Hoji mume na mke na pia familia ambayo ina watoto kuhusu jinsi wanavyotumia jioni ya Ibada ya Familia kujitayarisha kwa ajili ya huduma. Panga kichwa cha familia mmoja kati ya wale ambao umehoji, aonyeshe kifupi jinsi yeye na familia yake hufanya hivyo.
Wimbo 88 na Sala