Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 31
JUMA LINALOANZA OKTOBA 31
Wimbo 104 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 12 ¶1-8, sanduku kwenye uku. 96 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 22-26 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. “Liko Katika Hali Gani?” Hotuba. Baada ya hotuba, tumia pendekezo kwenye ukurasa wa 8 kuonyesha jinsi ya kuanzisha funzo katika Jumamosi ya kwanza mwezi wa Novemba.
Dak. 15: Umuhimu wa Kuwa Nadhifu Katika Huduma. Mazungumzo yaongozwe na mzee yakitegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 131-134.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Novemba. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kuzungumzia makala chache ambazo huenda zikawavutia watu katika eneo lenu. Halafu, kwa kutumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza, na vilevile andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za kwanza za Amkeni! na, wakati ukiruhusu, kuhusu makala nyingine moja. Onyesha jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 90 na Sala