Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 12
JUMA LINALOANZA DESEMBA 12
Wimbo 43 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 14 ¶1-5, sanduku kwenye uku. 112 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 6-10 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 6:1-13 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Mungu Anaruhusu Muda Mrefu Upite Kabla ya Kuwaharibu Waovu?—rs p. 291 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Upendo Haushindwi Kamwe?—1 Kor. 13:8; 1 Yoh. 4:8 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2012. Hotuba itolewe na mwangalizi wa shule. Zungumzia mambo ambayo kutaniko lenu linahitaji kuzingatia katika ratiba ya 2012. Pia, zungumzia jukumu la mshauri msaidizi. Watie moyo wote wajitahidi kutimiza migawo yao, kutoa maelezo wakati wa mambo makuu ya usomaji wa Biblia, na kutumia mapendekezo yanayotolewa kila juma katika kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 15: “Sisi Ni Wahubiri Nyakati Zote.” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 2, mhoji kifupi mhubiri mwenye matokeo katika mahubiri yasiyo rasmi. Mwombe aeleze jinsi anavyojitayarisha mapema na pia asimulie jambo fulani zuri aliloona.
Wimbo 135 na Sala