Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 26
JUMA LINALOANZA DESEMBA 26
Wimbo 123 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 14 ¶11-20 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 17-23 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Zungumzia “Njia Nzuri ya Kufurahia Nyimbo za Ufalme.”
Dak. 15: Jinsi ya Kutumia Kitabu Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 7-8. Eleza jinsi ya kutumia sehemu mbalimbali za kitabu hiki. Panga onyesho moja au mawili.
Dak. 15: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Mwombe msikilizaji mmoja au zaidi wasome Matendo 10:1-35. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma.
Wimbo 63 na Sala