Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 1/12 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 9

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 9
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA JANUARI 9
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 1/12 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 9

JUMA LINALOANZA JANUARI 9

Wimbo 53 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 15 ¶8-12, sanduku kwenye uku. 118 (Dak. 25)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Isaya 29-33 (Dak. 10)

Na. 1: Isaya 30:15-26 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Je, Wanadamu Waliumbwa Waishi Miaka Michache tu Kisha Wafe?—rs uku. 329 ¶3–uku. 330 ¶5 (Dak. 5)

Na. 3: Wanadamu Wasio Wakamilifu Wanaweza Kulitakasa Jina la Yehova Jinsi Gani?—Mt. 6:9 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 61

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Wahubirie Watu Wanaozungumza Lugha Nyingine. Hotuba inayoelezea jinsi ya kutumia kijitabu Good News for People of All Nations. Panga onyesho.

Dak. 10: Mambo Yanayothibitisha Kwamba Biblia Imeongozwa na Roho ya Mungu. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 34, fungu la 4, hadi ukurasa wa 38, fungu la 3.

Dak. 10: “Elekeza Ngumi Zako kwa Hekima.” Maswali na majibu. Mtakapokuwa mkizungumzia fungu la 2, mhoji kifupi mwangalizi wa utumishi kuhusu mahali na wakati ambapo watu wengi wanaweza kupatikana katika eneo lenu.

Wimbo 115 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki