Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 9
JUMA LINALOANZA JANUARI 9
Wimbo 53 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 15 ¶8-12, sanduku kwenye uku. 118 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 29-33 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 30:15-26 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Wanadamu Waliumbwa Waishi Miaka Michache tu Kisha Wafe?—rs uku. 329 ¶3–uku. 330 ¶5 (Dak. 5)
Na. 3: Wanadamu Wasio Wakamilifu Wanaweza Kulitakasa Jina la Yehova Jinsi Gani?—Mt. 6:9 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Wahubirie Watu Wanaozungumza Lugha Nyingine. Hotuba inayoelezea jinsi ya kutumia kijitabu Good News for People of All Nations. Panga onyesho.
Dak. 10: Mambo Yanayothibitisha Kwamba Biblia Imeongozwa na Roho ya Mungu. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 34, fungu la 4, hadi ukurasa wa 38, fungu la 3.
Dak. 10: “Elekeza Ngumi Zako kwa Hekima.” Maswali na majibu. Mtakapokuwa mkizungumzia fungu la 2, mhoji kifupi mwangalizi wa utumishi kuhusu mahali na wakati ambapo watu wengi wanaweza kupatikana katika eneo lenu.
Wimbo 115 na Sala