Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 30
JUMA LINALOANZA JANUARI 30
Wimbo 30 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 16 ¶1-7, sanduku kwenye uku. 128 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 43-46 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 45:15-25 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Jinsi Subira ya Mungu Inavyoongoza Kwenye Wokovu—2 Pet. 3:9, 15 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Ni Muhimu Kufunga Ndoa Kupatana na Matakwa ya Kisheria?—rs uku. 226 ¶3–uku. 227 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Panga onyesho la jinsi mhubiri anavyoweza kutumia mojawapo ya mapendekezo yaliyo katika ukurasa wa 4 kuanzisha funzo katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Februari. Tumia magazeti ambayo mmepokea karibuni zaidi kutanikoni na utaje Huduma Yetu ya Ufalme ambayo ilizungumzia jinsi ya kutoa magazeti hayo.
Dak. 10: Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Vituo vya Mawasiliano Kwenye Intaneti?—Sehemu ya 1. Hotuba inayotegemea Amkeni! ya Julai 2011 ukurasa wa 24-27 na Amkeni! ya Februari 2012 ukurasa wa 6-7.
Dak. 20: “Je, Uko Tayari Kukabiliana na Matibabu ya Dharura?” Maswali na majibu. Tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na la mwisho kutoa utangulizi na umalizio mfupi.
Wimbo 116 na Sala