Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 7
JUMA LINALOANZA MEI 7
Wimbo 120 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 20 ¶8-15, sanduku kwenye uku. 161 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 35-38 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 36:14-26 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Maria Aliendelea Kuwa Bikira Sikuzote?—rs uku. 182 ¶3–uku. 183 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Matendo ya Wanadamu Yanaweza Kumfurahisha au Kumkasirisha Mungu?—Amu. 2:11-18 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 20: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Kwa njia ya hotuba, pitia habari kutoka katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Usisite” (km 10/11), “Elekeza Ngumi Zako kwa Hekima,” na “Wahubirie ‘Watu wa Namna Zote’” (km 1/12). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamejaribu kutumia madokezo katika makala hizo na jinsi wamenufaika.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Wimbo 14 na Sala