Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 14
JUMA LINALOANZA MEI 14
Wimbo 33 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 20 ¶16-20 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 39-43 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 40:1-10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Wanadamu Wanaweza Kuingia Katika Pumziko la Mungu?—Ebr. 4:10, 11 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maria Alikuwa Mama ya Mungu?—rs uku. 183 ¶2-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Kwa Jambo Hili Wote Watajua Kwamba Ninyi ni Wanafunzi Wangu. (Yoh. 13:35) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2012, ukurasa wa 217, fungu la 3, hadi ukurasa wa 221, fungu la 1, na ukurasa wa 221, fungu la 3. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 15: “Uwe Mwangalifu Unapokuwa Katika Huduma.” Maswali na majibu. Ishughulikiwe na mwangalizi wa utumishi. Eleza jinsi kutaniko linavyoweza kutumia habari hiyo katika eneo lenu.
Wimbo 74 na Sala