Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 18
JUMA LINALOANZA JUNI 18
Wimbo 61 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 22 ¶ 7-14, masanduku kwenye uku. 174, 177 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Maombolezo 3-5 (Dak. 10)
Na. 1: Maombolezo 5:1-22 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kuwajibu Watu Wanaouliza, ‘Je, Mnamwamini Bikira Maria?’—rs uku. 187 ¶2-4 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Tunaamini Kwamba Biblia Imeongozwa kwa Roho ya Mungu?—2 Tim. 3:16 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Sanduku la Swali. Hotuba.
Dak. 25: “Makusanyiko Yetu ya Wilaya—Ushuhuda Wenye Nguvu wa Ile Kweli.” Maswali na majibu. Zungumzia “Vikumbusho vya Kusanyiko la Wilaya—2012” vinavyowahusu. Unapozungumzia fungu la 9, mwombe mwangalizi wa utumishi aeleze mipango ya kutaniko lenu ya kusambaza mialiko.
Wimbo 24 na Sala