Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 2
JUMA LINALOANZA JULAI 2
Wimbo 116 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 23 ¶1-8, sanduku kwenye uku. 180 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 6-10 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 7:14-27 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ni Katika Njia Gani Yonathani Alikuwa Mfano Mzuri wa Unyenyekevu?—1 Sam. 23:16-18 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kweli Mkate na Divai Hubadilika na Kuwa Mwili na Damu ya Kristo?—rs uku. 205 ¶1–uku. 206 ¶2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kusababu na Wenye Nyumba—Sehemu ya 1. Mazungumzo yanayotegemea kitabu cha Shule ya Huduma, ukurasa wa 251 hadi ukurasa wa 253, fungu la 2. Panga onyesho fupi kuhusu jambo moja au mawili kutoka kwenye habari hiyo.
Dak. 10: Je, Unakumbuka? Mazungumzo yanayotegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Aprili 15, 2012, ukurasa wa 32.
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Julai. Mazungumzo. Chagua makala mbili au tatu na utumie sekunde 30 hadi 60 kueleza kwa nini makala hizo zitawavutia watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza, na pia andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za Amkeni! na, ikiwa wakati unaruhusu, zungumzia makala moja kutoka katika mojawapo ya magazeti hayo. Panga onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa kwa kutumia magazeti ya karibuni zaidi mliyo nayo kutanikoni.
Wimbo 31 na Sala