Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 23
JUMA LINALOANZA JULAI 23
Wimbo 43 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 24 ¶1-9, sanduku kwenye uku. 193 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 18-20 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 19:1-14 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Maoni ya Mkristo Kuelekea Mamlaka ya Serikali za Ulimwengu—rs uku. 134 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Andiko la Mathayo 21:43 Linamaanisha Nini? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Vielelezo Kwa Njia Nzuri. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 247 hadi ukurasa wa 249, fungu la 2. Panga kuwe na onyesho fupi la jinsi ya kutumia jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dak. 20: Yehova Ni Msikiaji wa Sala (Zab. 66:19) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka— 2012, ukurasa wa 59, fungu la 1-4; ukurasa wa 183, fungu la 2; ukurasa wa 187, fungu la 1; na ukurasa wa 198, fungu la 1, hadi ukurasa wa 199, fungu la 1. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 56 na Sala