Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 3
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 3
Wimbo 6 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 26 ¶1-8, sanduku kwenye uku. 204 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 39-41 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 40:17-31 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Macho Yetu Yanaweza Kutupotosha kwa Njia Gani?—Mwa. 3:2-6 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kutounga Mkono Upande Wowote Kunamaanisha Kwamba Wakristo Hawajali Jirani Zao?—rs uku. 139 ¶3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Jinsi ya Kusababu na Wenye Nyumba—Sehemu ya 2. Mazungumzo yanayotegemea kitabu cha Shule ya Huduma, kuanzia ukurasa wa 253, fungu la 3, hadi mwisho wa ukurasa wa 254. Panga onyesho fupi kuhusu jambo moja au mawili kutoka kwenye habari hiyo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Mwezi wa Septemba. Mazungumzo yanayotegemea magazeti ya karibuni zaidi yaliyo kutanikoni na madokezo yanayofaa kwenye ukurasa huu au katika makala iliyopita ya Huduma Yetu ya Ufalme. Tumia sekunde 30 hadi 60 kueleza kwa nini makala hizo zitawavutia watu katika eneo lenu. Kisha kwa kutumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza, na pia andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za Amkeni! na, ikiwa wakati unaruhusu, zungumzia makala moja kutoka katika mojawapo ya magazeti hayo. Panga onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 34 na Sala