Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 24
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 24
Wimbo 45 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 27 ¶1-9 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Danieli 1-3 (Dak. 10)
Na. 1: Danieli 2:17-30 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Viumbe wa Mbinguni wa Mungu Wamepangwa Kitengenezo?—rs uku. 297 ¶3–uku. 298 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Tunaweza Kuepukaje Kuihuzunisha Roho Takatifu?—Efe. 4:30 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 30: “Young People Ask—What Will I Do With My Life? (Sehemu ya 2)” Maswali na majibu. Katika maelezo ya utangulizi ya dakika moja, pitia mambo yaliyozungumziwa juma lililopita katika Sehemu ya 1. Malizia kwa kuwapongeza vijana kwa uchangamfu kwa jitihada zao za ‘kumkumbuka’ Yehova wakiwa wangali wachanga. (Mhu. 12:1) Watie moyo wadumishe azimio lao la kutumia maisha yao katika utumishi wa Yehova. Mahali ambapo video hii haipatikani, tumia habari iliyo katika kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, buku la 2, sura ya 38 yenye kichwa, “Nitayatumiaje Maisha Yangu?” Wahoji vijana kadhaa kuhusiana na miradi ya kitheokrasi ambayo wamejiwekea na kile wanachofanya ili waweze kuifikia. Watie moyo vijana wasiruhusu ulimwengu na tamaa zake uwakengeushe washindwe kufuatilia miradi yao ya kitheokrasi. (1 Yoh. 2:17) Wapongeze kwa uchangamfu kwa sababu ya jitihada zao na mfano wao mzuri.
Wimbo 91 na Sala