Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 12
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 12
Wimbo 66 na Sala
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 1 ¶8-14 (Dak. 30)
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Amosi 1-9 (Dak. 10)
Na. 1: Amosi 3:1-15 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, “Agano Jipya” Linasema Kuhusu Paradiso Duniani Wakati Ujao au Habari Hizo Zimo tu Katika “Agano la Kale”?—rs uku. 238 ¶1–uku. 239 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Tunaweza Kufaidikaje kwa Kuelewa Zaburi 51:17? (Dak. 5)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Mtu Akisema, ‘Ninyi Hamwamini Yesu.’ Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 437, fungu la 3 hadi ukurasa wa 438 fungu la 2. Panga kuwe na onyesho fupi.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba wasikilizaji wasome Marko 1:16-20. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma.
Dak. 10: “Ona Mema kwa Ajili ya Kazi Yako Ngumu.” Maswali na majibu.
Wimbo 98 na Sala