Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 26
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 26
Wimbo 62 na Sala
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 2 ¶1-6, chati kwenye uku. 19 (Dak. 30)
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mika 1-7 (Dak. 10)
Na. 1: Mika 3:1-12 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ni Nini Kinachoonyesha Kwamba Paradiso Inayotajwa Katika Luka 23:43 Itakuwa Duniani?—rs uku. 240 ¶4–uku. 242 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Jinsi Tunavyojua Kwamba Yehova Ni Msikiaji wa Sala—1 Yoh. 5:14 (Dak. 5)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Ukitumia mapendekezo yaliyo katika ukurasa wa 4, panga onyesho la jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Desemba. Watie moyo wote washiriki katika utumishi.
Dak. 10: Ziada Yao Ilijazia Upungufu. Hotuba inayotegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2012, ukurasa wa 8-9. Hotuba hiyo itolewe na mzee.
Dak. 15: “Usijiwekee Vizuizi—Kushughulika na Ratiba Yenye Mambo Mengi.” Maswali na majibu. Mhoji kifupi mhubiri ambaye ameongoza funzo la Biblia licha ya kuwa na ratiba yenye mambo mengi.
Wimbo 73 na Sala