Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 14
JUMA LINALOANZA JANUARI 14
Wimbo 52 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko
jr sura ya 4 ¶1-8 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mathayo 7-11 (Dak. 10)
Na. 1: Mathayo 10:24-42 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Uwe na Utambuzi na Uepuke Kufuata Vitu Visivyo vya Kweli—1 Sam. 12:21; Met. 23:4, 5 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Mambo Gani Yanayofaa Kutolewa Sala?—rs uku. 259 ¶3–uku. 260 ¶3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toa Msaada Unaofaa. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 188, fungu la 4, hadi ukurasa wa 189, fungu la 4. Mhoji kifupi mtu fulani ambaye alifanya maendeleo ya kiroho kwa sababu ya kuonyeshwa upendezi na wengine.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Mathayo 4:1-11. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Dak. 10: “Toa Ushahidi Kamili.” Maswali na majibu.
Wimbo 92 na Sala