Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 2/13 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 11

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 11
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA FEBRUARI 11
Huduma ya Ufalme—2013
km 2/13 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 11

JUMA LINALOANZA FEBRUARI 11

Wimbo 106 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

jr sura ya 5 ¶7-12 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Mathayo 26-28 (Dak. 10)

Na. 1: Mathayo 27:24-44 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Subira ya Mungu Huongozaje Kwenye Wokovu?​—2 Pet. 3:9, 15 (Dak. 5)

Na. 3: Mtu Akisema, ‘Ninyi Mnakazia Mno Unabii’​—rs uku. 346 ¶4-5 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 31

Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba msikilizaji mmoja au zaidi wasome Mathayo 6:19-21 na Luka 16:13. Zungumzia jinsi masimulizi hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.

Dak. 20: “Je, Wewe Utafanya Upainia Msaidizi?” Maswali na majibu. Ishughulikiwe na mwangalizi wa utumishi. Baada ya kuzungumzia fungu la 2, wahoji kifupi wahubiri wawili ambao wamepanga kufanya upainia msaidizi mwezi wa Machi, mmoja ambaye hufanya kazi ya wakati wote na mwingine ambaye hawezi kutimiza mengi kwa sababu ya matatizo ya kiafya. Ni mabadiliko gani ambayo wanapanga kufanya ili wawe mapainia? Panga kuwe na onyesho la wenzi wa ndoa au familia yenye watoto wakitumia muda wa jioni ya Ibada ya Familia kufanya mipango hususa ya kuongeza huduma yao. Onyesho hilo lifanywe baada ya kuzungumzia fungu la 3.

Wimbo 122 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki