Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 8
JUMA LINALOANZA APRILI 8
Wimbo 123 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 7 ¶14-20 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Luka 10-12 (Dak. 10)
Na. 1: Luka 12:1-21 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tabia Mbalimbali za Kijamii Zilitokeaje?—rs uku. 96 ¶2–uku. 97 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Tunamwona Yehova Kama Baba Yetu?—Mt. 6:9 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Unaweza Kuwa Chanzo cha Kitia Moyo. (Rom. 1:11, 12) Mazungumzo. Sehemu hii iongozwe na mwangalizi wa utumishi. Taja idadi ya mapainia wa kawaida katika kutaniko. Taja baadhi ya njia tunazoweza kuwatia moyo, kama vile kuwapongeza, kuhubiri pamoja nao, kuwasaidia gharama za usafiri, au kuwaalika kwa ajili ya mlo. Waombe mapainia waeleze jinsi ambavyo wengine wamewatia moyo. Ikiwa kutaniko halina mapainia wa kawaida, badili habari hiyo ihusu mapainia wasaidizi.
Dak. 10: Kujibu Maswali Kuhusu Siku za Mwisho. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 292, fungu la 1, hadi ukurasa wa 293, fungu la 2. Panga kuwe na onyesho fupi la pendekezo moja.
Dak. 10: “Wachukueni Manabii Kuwa Kielelezo—Yona.” Maswali na majibu.
Wimbo 13 na Sala