Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 22
JUMA LINALOANZA APRILI 22
Wimbo 85 na Sala
□ Funzo la Kitabu la Kutaniko:
jr sura ya 8 ¶8-13 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Luka 18-21 (Dak. 10)
Na. 1: Luka 18:18-34 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Watu wa Jamii Zote Watapata Kuungana Kwelikweli Wawe Ndugu na Dada?—rs uku. 99 ¶1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Upole Ni Nini, Tunautafutaje, na kwa Nini Ni Muhimu?—Sef. 2:2, 3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Kutoa Ripoti ya Utumishi. Mazungumzo. Sehemu hii iongozwe na mwandishi wa kutaniko. Zungumzia jinsi waangalizi wa vikundi vya utumishi wanavyosaidia kukusanya ripoti za wahubiri wa vikundi vyao vya utumishi. Tumia habari iliyo katika kitabu Tengenezo ukurasa wa 85-87. Kazia umuhimu wa kutoa ripoti kwa usahihi na kwa ukawaida.
Dak. 20: “Utamwambia Nini Mwislamu?” Mazungumzo. Kazia umuhimu wa kutumia utambuzi tunapozungumza na watu wa tamaduni tofauti. Panga kuwe na onyesho la utoaji uliotayarishwa vizuri.
Wimbo 121 na Sala