Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 29
JUMA LINALOANZA APRILI 29
Wimbo 50 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 8 ¶14-20 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Luka 22-24 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Ukitumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 8, panga kuwe na onyesho la jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Mei. Tumia magazeti ya karibuni zaidi yanayopatikana kutanikoni na Huduma ya Ufalme iliyo na mapendekezo ya jinsi ya kutoa magazeti hayo. Watie moyo wote washiriki katika utumishi. Zungumzia sehemu yenye kichwa “Je, Wewe Huangalia Ubao wa Matangazo kwa Ukawaida?”
Dak. 10: Ujumbe Ambao Ni Lazima Tuutangaze—“Habari Njema Hii ya Ufalme.” Hotuba yenye kusisimua inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 279 hadi 281.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Mathayo 16:21-23 na Luka 9:22-26. Zungumzia jinsi masimulizi hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Wimbo 117 na Sala