Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 6
JUMA LINALOANZA MEI 6
Wimbo 26 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 9 ¶1-7 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yohana 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Yohana 3:22-36 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: “Kutembea kwa Roho” Kunamaanisha Nini Hasa?—Gal. 5:16 (Dak. 5)
Na. 3: Kifo cha Yesu Kristo Kilitofautianaje na cha Wale Wengine Waliouawa kwa Sababu ya Imani Yao?—rs uku. 77 ¶2–uku. 78 ¶3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Mei. Mazungumzo. Tumia sekunde 30 hadi 60 kuonyesha kwa nini magazeti hayo yatawavutia watu katika eneo lenu. Halafu, kwa kutumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza, na kisha watoe mapendekezo ya andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za kwanza za Amkeni! na wakati ukiruhusu, kuhusu makala nyingine moja kutoka katika mojawapo ya magazeti hayo. Panga kuwe na onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa. Unaweza kutumia magazeti ya karibuni zaidi yanayopatikana kutanikoni.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Yehova Mwenyewe Asipoijenga Nyumba, Ni Bure Kwamba Wajenzi Wake Wameifanyia Kazi Ngumu. (Zab. 127:1) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 149, fungu la 2, hadi ukurasa wa 151, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 47 na Sala