Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 8
JUMA LINALOANZA JULAI 8
Wimbo 43 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 11 ¶15-21 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
Usomaji wa Biblia: Matendo 15-17 (Dak. 10)
Na. 1: Matendo 16:16-34 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Mkristo Anaweza Kuwa na Furaha Anaponyanyaswa?—Mt. 5:11, 12 (Dak. 5)
Na. 3: Mtume Paulo Aliposema Kwamba Wakristo ‘Watanyakuliwa’ Wakawe Pamoja na Bwana, Alikuwa Akizungumzia Nini?—rs uku. 110 ¶4–uku. 111 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kuwaelekeza Wenye Kupendezwa Katika Tengenezo la Yehova. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 99, fungu la 2, hadi ukurasa wa 100, fungu la 1. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wametumia broshua Mapenzi ya Yehova kuwaelekeza wanafunzi wao kwenye tengenezo.
Dak. 10: Mjaribu Yehova, na Upokee Baraka Hadi Kusiwe na Uhitaji Tena (Mal. 3:10) Wahoji mapainia wa kawaida wawili au watatu. Ni kitu gani wanachofurahia zaidi katika kazi ya upainia? Kufanya upainia kumeboreshaje hali yao ya kiroho? Waombe wasimulie mambo yoyote yaliyoonwa yenye kuvutia ambayo wamefurahia. Malizia kwa kuwatia moyo wahubiri wafanye upainia wa kawaida katika mwezi wa Septemba.
Dak. 10: “Wachukueni Manabii Kuwa Kielelezo—Yoeli.” Maswali na majibu.
Wimbo 54 na Sala