Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 22
JUMA LINALOANZA JULAI 22
Wimbo 22 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 12 ¶8-13 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Matendo 22-25 (Dak. 10)
Na. 1: Matendo 22:17-30 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ni Katika Njia Gani Sisi Si Sehemu ya Ulimwengu Ingawa Tuko Ulimwenguni?—Yohana 17:15, 16 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Inawezekana kwa Wakristo Kuchukuliwa Mbinguni Wakiwa na Miili Yao Yenye Nyama?—rs uku. 112 ¶2-3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Jinsi Tunavyoweza Kuonyesha Heshima Katika Huduma. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 190, fungu la 1, hadi ukurasa wa 192, fungu la 1. Panga kuwe na onyesho fupi la mhubiri ambaye hamwonyeshi heshima mwenye nyumba. Kisha rudia onyesho hilo, wakati huu mhubiri huyo anamwonyesha heshima mwenye nyumba.
Dak. 20: “Mipango Mipya ya Kuhubiri Hadharani.” Maswali na majibu. Eleza mipango yoyote ya kutaniko ya kuhubiri hadharani kwa kutumia meza au vigari vya kukokotwa vyenye machapisho, na usimulie mambo yaliyoonwa yenye kupendeza.
Wimbo 95 na Sala