Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 29
JUMA LINALOANZA JULAI 29
Wimbo 51 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 12 ¶14-19, sanduku kwenye uku. 148 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Matendo 26-28 (Dak. 10)
Na. 1: Matendo 26:19-32 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Wakristo Waaminifu Watachukuliwa Kisiri Kwenda Mbinguni Bila Kufa?—rs uku. 113 ¶1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Njia Ambazo Roho ya Mungu Huonekana kwa Watumishi Wake—Gal. 5:22, 23; Ufu. 22:17 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Hubiri kwa Njia ya Kawaida. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 128, fungu la 1, hadi ukurasa wa 129, fungu la 1. Mhoji kwa ufupi mhubiri mwenye uzoefu aliyeshinda tatizo la kuona haya. Ni nini ambacho kimemsaidia asiwe na wasiwasi mwingi anapokuwa katika huduma?
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo. Sehemu hii ishughulikiwe na mzee.
Dak. 10: Jithibitisheni Kuwa Wana wa Baba Yenu Aliye Mbinguni. (Mt. 5:43-45) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 89, fungu la 3, hadi ukurasa wa 90, fungu la 1, na ukurasa wa 164, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 80 na Sala