Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 26
JUMA LINALOANZA AGOSTI 26
Wimbo 63 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 13 ¶14-19 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waroma 13-16 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Jitahidi Kuanzisha Mafunzo ya Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza.” Hotuba. Baada ya hotuba, panga kuwe na onyesho la jinsi ya kuanzisha funzo la Biblia Jumamosi ya kwanza mwezi wa Septemba. Watie moyo wahubiri washiriki katika utumishi.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Eneo la Kikundi cha Utumishi na Eneo la Kibinafsi. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 102, fungu la 3, hadi ukurasa wa 104, fungu la 1. Mhoji ndugu anayeshughulikia maeneo kuhusu mipango ya kuomba eneo na kulihubiri.
Dak. 10: Sisi Si Manabii wa Uwongo. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 179, fungu la 3, hadi mwisho wa ukurasa wa 181 fungu la 2. Panga kuwe na onyesho moja kutoka kwenye ukurasa wa 180 au ukurasa wa 181.
Wimbo 116 na Sala