Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 2
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 2
Wimbo 47 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 13 ¶20-26 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wakorintho 1-9 (Dak. 10)
Na. 1: 1 Wakorintho 4:18–5:13 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Anapohisi Kwamba Anawajua Watu Ambao Hajawahi Kukutana Nao au Kwamba Anajua Mahali Ambapo Hajawahi Kuwa, Je, Hilo Linathibitisha Kwamba Watu Huzaliwa Upya Katika Mwili Mwingine?—rs uku. 149 ¶1–uku. 150 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Jinsi Wakristo Wanavyodumisha Shangwe Licha ya Ugonjwa—Flp. 4:6, 7 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Septemba. Mazungumzo. Tumia sekunde 30 hadi 60 kuonyesha kwa nini magazeti hayo yatawavutia watu katika eneo lenu. Halafu, kwa kutumia habari kuu ya gazeti la Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza na kisha watoe mapendekezo ya andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu gazeti la Amkeni! na wakati ukiruhusu, kuhusu makala nyingine moja kutoka katika mojawapo ya magazeti hayo. Panga kuwe na onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Igeni Kielelezo cha Barnaba. Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi kielelezo cha Barnaba kinavyoweza kutusaidia katika kazi yetu kuhubiri.
Wimbo 65 na Sala