Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 23
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 23
Wimbo 109 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 ¶14-19 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wakorintho 8-13 (Dak. 10)
Na. 1: 2 Wakorintho 10:1-18 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Akisema, ‘Mimi Naamini Kwamba Watu Huzaliwa Upya Katika Mwili Mwingine’—rs uku. 153 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Tunapaswa Kuelewaje Andiko la 1 Wakorintho 10:13? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: “Nitachukua Machapisho Yenu Ikiwa Utachukua Yangu.” Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyofanikiwa kushughulikia hali hiyo.
Dak. 10: Tulitimiza Nini Mwaka Uliopita? Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi. Pitia utendaji wa kutaniko katika mwaka wa utumishi uliopita. Kazia mambo mazuri yaliyotimizwa, na uwapongeze wahubiri kwa mambo hayo. Taja sehemu moja au mbili za huduma ambazo kutaniko linaweza kufanyia kazi katika mwaka wa utumishi unaofuata, kisha utoe mapendekezo yanayoweza kuwasaidia.
Dak. 15: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Matendo 16:19-40. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Wimbo 44 na Sala