Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 30
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 30
Wimbo 99 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 ¶20-25 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Wagalatia 1-6 (Dak. 10)
Na. 1: Wagalatia 1:18–2:10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Kuna Dini Nyingi Sana?—rs uku. 58 ¶4–uku. 59 ¶4 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Yehova Ndiye Anayestahili Kuabudiwa?—Ufu. 4:11 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Je, Unaweza Kuwaalika?” Mazungumzo. Kisha, ukitumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 4, panga kuwe na onyesho la jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Oktoba.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kuwahubiria Watu wa Kila Lugha. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 104, fungu la 2, hadi ukurasa wa 105, fungu la 3. Panga kuwe na onyesho.
Dak. 10: Msihangaike Kamwe. (Mt. 6:31-33) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 138, fungu la 4, hadi ukurasa wa 147, fungu la 1 bila kutia ndani ukurasa wa 140 hadi wa 146. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 40 na Sala