Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 4
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 4
Wimbo 116 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo la 3-4 (Dak. 30)
□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Tito 1–Filemoni
(Dak. 10)
Na. 1: Tito 2:1-15 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Ni Lazima Kuwa Mshiriki wa Dini Iliyopangwa Kitengenezo?—rs uku. 62 ¶4–uku. 63 ¶4 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Hatupaswi “Kusikiliza Hadithi za Uwongo”?—1 Tim. 1:3, 4; 2 Tim. 4:3, 4 (Dak. 5)
□Mkutano wa Utumishi:
Dak.10:Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Novemba. Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: Ikiwa hali zitaruhusu, kwa nini tunapaswa kutoa magazeti Jumamosi na Jumapili tunaposhiriki kugawa trakti Habari za Ufalme Na. 38? Ni nyakati gani zitakazofaa kufanya hivyo? Tunaweza kusema nini ikiwa tunataka kumwachia magazeti mtu ambaye tayari tumempa trakti Habari za Ufalme Na. 38? Panga kuwe na onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa ukiambatanisha na trakti Habari za Ufalme Na. 38.
Dak.10:Mahitaji ya kutaniko.
Dak.10:Neno la Mungu Lina Nguvu. (Ebr. 4:12) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 57, fungu la 1, hadi ukurasa wa 59, fungu la 3. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 114 na Sala