Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 2
JUMA LINALOANZA DESEMBA 2
Wimbo 123 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo la 14-16 (Dak. 30)
□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Petro 1–2 Petro 3 (Dak. 10)
Na. 1: 1 Petro 2:18–3:7 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Dini ya Kweli Hutegemea Biblia na Huwajulisha Watu Jina la Mungu—rs uku. 65 ¶1-2 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Tuna Uhakika Kwamba Yesu Ndiye Mesiya?—Luka 24:44; Gal. 4:4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Hotuba. Watie moyo wahubiri wote washiriki kuanzisha mafunzo ya Biblia katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Desemba. Panga kuwe na onyesho fupi la jinsi ya kuanzisha funzo kwa kutumia ukurasa wa nyuma wa gazeti la Mnara wa Mlinzi.
Dak. 15: Je, Umejaribu Mapendekezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Kwa njia ya hotuba, pitia kifupi habari za hivi karibuni zilizo kwenye Huduma Yetu ya Ufalme zenye vichwa:“Tovuti Yetu Rasmi—Imetengenezwa ili Itunufaishe Sisi na Wengine” (km 12/12), “Tumia Video Unapofundisha,” na “Ni Nani Watakaopendezwa na Makala Hii?” (km 5/13). Waombe wasikilizaji watoe maelezo ya jinsi walivyofaidika kwa kutumia mapendekezo hayo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Wimbo 12 na Sala