Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 3
JUMA LINALOANZA MACHI 3
Wimbo 112 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 3 ¶19-21, sanduku kwenye uku. 34 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 36-39 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 37:1-17 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wale Watakaofufuliwa Hawatahukumiwa kwa Matendo Yao ya Zamani—rs uku. 324 ¶4 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kanisa Lilijengwa Juu ya Petro?—td 11B (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10:Toa Magazeti Katika Mwezi wa Machi. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi ya kutoa magazeti kwa kutumia njia za kutoa magazeti zilizoonyeshwa kwenye ukurasa huu. Kisha changanueni njia hizo kuanzia mwanzo hadi mwisho. Malizia kwa kuwaomba wasikilizaji waeleze jinsi magazeti hayo yanavyoweza kutolewa pamoja na mialiko ya Ukumbusho katika miisho juma miwili ya mwisho wa mwezi.
Dak. 10:Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10:Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuandika Habari Zote Kuhusu Mtu Anayependezwa.” Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kupendeza.
Wimbo 95 na Sala