Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 10
JUMA LINALOANZA MACHI 10
Wimbo 1 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 4 ¶1-9 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 40-42 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 41:1-16 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Wale Wafu Wengine Watapata Jinsi Gani Uzima wa Milele Duniani?—rs uku. 325 ¶1–uku. 326 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini 144,000 Tu Ndio Wanaoenda Mbinguni?—td 21A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Ibada ya Familia Inayoburudisha. Hoji familia moja kuhusu ibada yao ya familia. Programu yao huhusisha nini? Wanaamuaje mambo ya kuzungumzia? Wametumia mambo gani yanayopatikana kwenye Tovuti ya jw.org/sw? Programu yao imewasaidiaje katika utumishi wa shambani? Wanafanya nini ili wafuate ratiba yao bila kukengeushwa? Wamefaidikaje kutokana na programu yao ya ibada ya familia?
Dak. 15: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma–Jinsi ya Kumjibu Mtu Anayekataa Mazungumzo.” Mazungumzo. Fikiria mambo mawili au matatu ambayo watu wanaokataa mazungumzo wanaweza kusema, na uwaalike wasikilizaji watoe maelezo ya jinsi tunavyoweza kujibu. Wakumbushe wahubiri kwamba watapata fursa ya kueleza mambo yaliyoonwa katika juma la Aprili 7.
Wimbo 97 na Sala