Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 17
JUMA LINALOANZA MACHI 17
Wimbo 113 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 4 ¶10-18 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 43-46(Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 44:18-34 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ni Nani Watakaotiwa Ndani ya Ufufuo wa Kuishi Duniani?—rs uku. 326¶2–uku. 327 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Wanadamu Hufa?—td 12A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15:Uwe Mwenye Busara Unapohubiri. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 197, fungu la 1 hadi ukurasa wa 199, fungu la 4. Panga kuwe na onyesho kumhusu mhubiri anayejibu kipingamizi cha kawaida bila busara, kisha onyesho lingine linaloonyesha akijibu kipingamizi hichohicho kwa busara.
Dak. 15: “Je, Utaitumia Hii Fursa?” Maswali na majibu. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi wanavyopanga kufanya usomaji wa Biblia kwa ajili ya Ukumbusho. Taja mipango ya kutaniko kwa ajili ya Ukumbusho.
Wimbo 8 na Sala