Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 31
JUMA LINALOANZA MACHI 31
Wimbo 105 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 5 ¶1-8 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 1-6 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 2:1-14 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kristo Atakaporudi Hataonekana kwa Macho ya Wanadamu—rs uku. 116 ¶3–uku. 117 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Inawezekana Kuongea na Wafu—td 12C (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Tumia Magazeti ya Zamani Vizuri.” Mazungumzo. Waeleze wahubiri kuhusu magazeti ya zamani yaliyo akibani ambayo wanaweza kuyatumia katika utumishi wa shambani. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo yaliyoonwa walipotumia magazeti ya zamani. Kabla ya kumalizia sehemu hii, mkaribishe mwangalizi wa utumishi ajulishe kutaniko maendeleo ya usambazaji wa mialiko ya Ukumbusho.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba msikilizaji mmoja au zaidi wasome Mathayo 28:20 na 2 Timotheo 4:17. Zungumzieni jinsi mistari hiyo inavyoweza kutusaidia katika huduma.
Wimbo 135 na Sala