Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 24
JUMA LINALOANZA MACHI 24
Wimbo 104 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 4 ¶19-23, sanduku kwenye uku. 45 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 47-50 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 48:17–49:7 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Matukio Yanayohusianishwa na Kuwapo kwa Kristo Yanatukia kwa Kipindi cha Miaka Kadhaa—rs uku. 116 ¶1-2 (Dak. 5)
Na. 3: Hali ya Wafu Ikoje?—td 12B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Igeni Kielelezo cha Nehemia. Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi kielelezo cha Nehemia kinavyotusaidia kuhubiri habari njema.
Dak. 10: Tumia Maswali Ili Ufundishe Vizuri—Sehemu ya 1. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 236, hadi ukurasa wa 237, fungu la 2. Panga kuwe na onyesho fupi la jinsi ya kutumia jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dakika 10: Yehova Husikiliza Dua za Waadilifu. (1 Pet. 3:12) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 66, fungu la 1-3; na ukurasa wa 104-105. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 6 na Sala