Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Katika mwezi wa Septemba, mapainia 26 walihudhuria darasa la kwanza la Shule ya Utumishi wa Painia iliyofanywa kwa Lugha ya Ishara ya Kenya (KSI).
Sudan Kusini: Katika mwezi wa Agosti, kulikuwa na wahubiri 1,288, na waliongoza mafunzo ya Biblia 3,222. Kulikuwa na ongezeko la wahubiri la asilimia 9 katika mwaka wa utumishi wa 2013.
Sudan: Katika mwezi wa Agosti, kulikuwa na wahubiri 458, na waliongoza mafunzo ya Biblia 884.