Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 14
JUMA LINALOANZA APRILI 14
Wimbo 114 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 5 ¶18-21, sanduku kwenye uku. 55 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 11-14 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 12:37-51 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Biblia Inahusianisha Kuwapo kwa Kristo na Matukio Gani?—rs uku. 119 ¶1-5 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Misa Ni ya Kimaandiko?—td 36 B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Tumia Vizuri Kitabu cha Mwaka—2014. Mazungumzo. Pitia “Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza.” Fanya mpango mapema ili baadhi ya wasikilizaji wasimulie mambo yaliyoonwa ambayo yamewatia moyo kutoka katika Kitabu cha Mwaka. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yenye kusisimua katika ripoti ya ulimwenguni pote. Kisha, watie moyo wote wamalize kusoma Kitabu cha Mwaka.
Dak. 15: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Uwe Mwandamani Mzuri.” Mazungumzo. Panga kuwe na maonyesho mawili mafupi yanayoonyesha mwandamani ambaye hatoi msaada. Baada ya kila onyesho, waombe wasikilizaji waeleze jinsi mwandamani huyo angeweza kushughulikia hali zilizojitokeza kwa njia nzuri zaidi.
Wimbo 45 na Sala