Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 21
JUMA LINALOANZA APRILI 21
Wimbo 132 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 6 ¶1-8 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 15-18 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 15:20-16:5 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wakristo Hawahitaji Kushika Sabato?—rs uku. 250-251 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Kurudi kwa Kristo Hakuonekani kwa Wanadamu—td 17 A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Sanduku la Swali: “Ni nani aliye na idhini ya kufungisha ndoa au ya kuongoza mazishi?” Maswali na majibu. Ona pia Sanduku la Swali kutoka katika Huduma ya Ufalme ya Novemba 2008 ukurasa wa 3, na ukazie baadhi ya mambo muhimu.
Dak. 10: Sanduku la Swali: “Tunawezaje kuwa makini kuhusu usalama wa Jumba la Ufalme?” Maswali na majibu.
Dak. 10: Sanduku la Swali: “Tunawezaje kuwasaidia wanafunzi wetu wa Biblia wastahili kubatizwa na kuwa wanafunzi wa Yesu Kristo?” Maswali na majibu.
Wimbo 125 na Sala