Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 23
JUMA LINALOANZA JUNI 23
Wimbo 109 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 9 ¶1-7 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 10-13 (Dak. 10)
Na. 1: Mambo ya Walawi 12:1–13:8 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ukweli Kuhusu Kuheshimu Masalio na Sanamu za “Watakatifu”—rs uku. 407 ¶1–uku. 408 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maria Alikuwa “Bikira Siku Zote”?—td 8B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Machapisho Yatakayotolewa Mwezi wa Julai. Mazungumzo. Zungumzia kwa ufupi yaliyomo kwenye machapisho yatakayotolewa. Panga kuwe na onyesho moja au mawili.
Dak. 20: “Jinsi ya Kuwasaidia Wenye Tatizo la Kusoma.” Maswali na majibu.
Wimbo 55 na Sala